Wednesday, January 22, 2014

CHADEMA KUTIKISA NCHI; HELIKOPTA TATU KURUSHWA NCHI NZIMA

Katibu Mkuu wa Chadema, Willibrod Slaa na mwenyekiti wake Freeman Mbowe wakielekea kuzungumza na  waandishi wa habari,  Makao Makuu ya  chama hicho Dar es Salaam jana kuhusu kuanza kwa ‘Operesheni Pamoja Daima’ ya kuzunguka  nchi nzima ili kuimarisha chama hicho.  Picha na Fidelis Felix  Dar es Salaam. Chama ...

UPDATES: WANAFUNZI WANNE WAPOTEZA MAISHA NA WENGINE 35 KUJERUHIWA AJILINI MKOANI MTWARA LEO

Wanafunzi 4 wa Shule ya sekondari ya Sabodo iliyopo mkoani Mtwara,wamefariki huku wengine zaidi ya 35 wakmiwa wamejuruhiwa katika ajali iliyotokea iliyotokea mapema leo asubuhi baada ya wanafunzi hao kugongwa na gari walipokuwa katika mazoezi ya asubuhi (Mchakamchaka) shuleni hapo ambayo ipo Pembezoni mwa barabara kuku ya Mtwara ,Lindi...

MGOMBEA URAIS WA FIFA JEROME CHAMPAGNE ATOA PENDEKEZO LA KUANZISHWA KADI ZA CHUNGWA KATIKA MCHEZO WA SOKA

Mgombea wa kiti cha urais wa shirikisho la mchezo wa soka duniani FIFA, Jerome Champagne, amependekeza kuanzishwa kwa mfumo wa kutoa kadi ya chungwa wakati wa mechi za soka, ili kuruhusu marefa wa mechi kuwaruhusu wachezaji waliofanya madhambi kuondolewa uwanjani kwa muda. Champagne mwenye umri wa miaka 55 kutoka Ufaransa, aliyasema...

Tuesday, January 21, 2014

MANYANYASO YAKITHIRI SUDAN KUSINI.

Wa-Sudan Kusini waliokoseshwa makazi Watu waliokoseshwa makazi kutokana na mapigano katika mji wa Bor baada ya kuwasili katika bandari ya Minkaman, nchini Sudan Kusin. AFISA...

KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA AFUTA MWALIKO WA IRAN.

Mkutano wa kusaka amani Syria utaendelea bila Iran  KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameufuta mwaliko aliokuwa ameutoa kwa Iran kushiriki katika mazungumzo ya amani ya Syria ambayo yanatarajiwa kuanza kesho nchini Uswisi. Uamuzi huo wa Ban Ki-moon ulifikiwa baada ya Iran kutupilia mbali mashariti yaliyokuwa yakiambatanishwa...

CHUO KIKUU CHA NORTH CAROLINA CHAGUNDUA AINA YA SUMU YENYE UWEZO WA KUUA SELI ZILIZOATHIRIKA NA VURUSI VYA UKIMWI KWA BINADAMU BAADA YA KUFANYIKA KWA UTAFITI WA PANYA 40 NCHINI MAREKANI.

  TIMU ya Watafiti katika Chuo Kikuu cha North Carolina nchini Marekani, wamegundua aina ya sumu ambayo ina uwezo wa kuua seli ambazo zimekwishaathiriwa na Virusi Vya Ukimwi (VVU). Sumu hiyo iliyopewa jina, 3B3-PE38, inaweza kutumika kutengeneza dawa ambayo ikitumiwa na mtu aliyeathirika kwa VVU, itasaidia kuua virusi. Watafiti wamebaini...

SYRIA YATUHUMIWA KUUA WAFUNGWA 10,000 TANGU KUANZA HARAKATI ZA KUMPINDUA RAIS BASHAR AL-ASAAD.

RIPOTI iliyotolewa na viongozi watatu wa zamani wa mashitaka ya uhalifu wa kivita inasema kwamba kuna ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha kuwa Syria imewatesa na kuwaua karibu wafungwa 10,000 tangu kuanza harakati za kumpinga Rais Bashar Al-Asaad. Wachunguzi walipekua maelfu ya picha za wafungwa waliokufa zilizotolewa nchini Syria...

NCHI YA URUSI NDIYO NCHI INAYOONGOZA KWA KUWA NA UBORA WA ELIMU NA VYUO DUNIANI.

Tunapozungumzia wasomi tunazungumzia idadi ya watu waliomaliza elimu za vyuo vikuu yaani walau mtu ana digrii moja. Kwa mujibu wa taarifa ya mwaka 2013 ya shirika la OECD ambayo 27/7 Wallstreet walinukuu zifuatazo ndio nchi zinazoongoza: 1. Russian Federation Wenye kiwango cha elimu ya chuo: 53.5% 2. Canada Wenye kiwango cha elimu ya...

BREAKING NEWZZ...RAIS PAUL KAGAME WA RWANDA APATA AJALI KENYA.....!SOMA ZAIDI HAPA....

Watu wawili wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha mojawapo ya magari ya msafara wa magari ya Rais Paul Kagame nchini Kenya. Rais Mwenyewe hata hivyo hakujeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea saa mbili asubuhi katika eneo la Limuru eneo la Kati mwa Kenya. Gari hilo hata hivyo lilipoteza mwelekeo likiwa mbali na msafara wenyewe.Dereva wa ...

UKATILI WA KUTISHA BABA WA KAMBO AWACHOMA MOTO WATOTO WAWILI HUKU MAMA YAO AKISHANGILIA ,KISA KUTUMIA TSH 10,000 VIBAYA....MATUKIO KATIKA PICHA

Askari  polisi akimuongoza mama  wa watoto hao polisi Askari  wanaharakati  wa dawati la mtandao wa jinsia kulia na kushoto wakiwa  wamemkamata mama wa watoto  hao tayari kwenda polisi Hapa wakiingia na mama  huyo katika ofisi za dawati la jinsia mkoa wa Iringa Hivi  ndivyo ...

WANAWAKE WA TANZANIA NI JANGA.....WAPEKULIWA MPAKA SEHEMU ZA SIRI

JANGA la kusafirisha madawa ya kulevya Bongo limezidi kuwa zito kufuatia takwimu za hivi karibuni kuonesha kwamba, idadi ya wanawake kujihusisha na shughuli hiyo inazidi kupanda.   Jack Patrick. Akizungumza na paparazi wetu, Kamanda wa Kudhibiti na Kuzuia Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP Godfrey Nzowa alisema wanawake wamekuwa ni janga...

Monday, January 20, 2014

HAYA NDIYO MAGARI YA KIFAHARI ANAYOMILIKI NA ANAYOPENDELEA 'SAMUEL ETO’O'

Huyu ni Mka Cameroon anayesakata Kabumbu la kulipwa huko barani Ulaya, kwa sasa anaichezea Timu ya Chelsea, Pia Samuel ni mchezaji wa timu ya Taifa ya Cameroon. Eto'o hivi karibuni ameonekana kutisha sana katika kabumbu analocheza huko ulaya. Tarehe 19 mwezi huu aliweka historia kubwa katika maisha yake kwa kupiga Hat trick kwa kuifuna Manchester...

BREAKING NEWZZ!!! LETTIE MATABANE: MUIGIZAJI MAARUFU WA ISIDINGO AFARIKI DUNIA LEO! ALIKUWA AKIISHI NA VIRUSI!

Lesego Motsepe (Lettie Matabane), enzi za uhai wake Mwaka 2011 Lettie aliwahi kujitangaza kuwa anaishi na Virusi vya Ukimwi Aliyekuwa muigizaji maarufu katika Tamthilia ya Isidingo The Need ya Afrika Kusini, Lesego Motsepe maarufu zaidi kwa jina la Lettie Matabane, amefariki dunia nchini mwake Afrika Kusini mapema leo.  Lettie,...

MWANAJESHI FEKI ATIWA MBARONI TANGA AKIMTAPELI DC

'Koplo' feki wa JWTZ akiwa ofisini kwa mkuu wa wilya.  'Koplo' feki akiwa na pamoja na Luteni Yahya Wangwe na Mteule daraja la pili Albano Semfuko.  'Koplo' feki akijiandaa kupanda  kwenye gari kupelekwa kituo cha polisi kwa mahojiano zaidi Na Mashaka Mhando,TANGAVIKOSI vya Ulinzi na Usalama Wilayani hapa,vinamshikilia...